Wednesday 21 January 2015



nini chanzo cha kukatika kwa umeme wakati tunamitambo mizuri? ni baadhi ya wananchi wa maeneo ya songea wamehoji huku pia mkoani Kilimanjaro wilayani Hai wananchi wametoa kero hiyo katika kipindi cha Siku mpya wakitaka kujua nini chanzo cha kukatika kwa umeme huku pia wakiomba wahusika kutoa taarifa ya katizo la umeme kama kuna tatizo.

No comments:

Post a Comment