Friday 6 March 2015

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKAHAPOKESHO

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani wilayani Hai Mkoani Kilimanjaro yanatarajiwa kufanyika hapo kesho katika ukumbi wa Halmashauriya wilaya Hiyo.
mkuu wa idaraya maendeleo ya jamii anawakaribisha wananchi wote kuhudhuria katika kilele cha maadhimisho hayo.

No comments:

Post a Comment