Monday 19 January 2015


Wapiganaji wa kundi la kigaidi la Boko Haram, wamewateka nyara watu wapatao 80 baada ya kufanya shambulizi katika eneo la kaskazini mwa Cameroon. Polisi wa Cameroon wamesema shambulizi hilo limefanyika siku moja baada ya nchi jirani ya Chad, kupeleka wanajeshi wake kuapambana na kundi hilo.
chanzo ni DW (Kiswahili)
1 hr ·  

No comments:

Post a Comment