Thursday 22 January 2015


katika picha ni mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Hai ndugu Melkizedeck Humbe  akiongozana na kamati ya maji ya Bunge ambayo ilifika wilayani Hai kwa aajili ya kukagua na kutathimini miradi ya maji eneo walilopo ni eneo la Machame Narumu katika Subdivision ya mradi wa Lyamungo Umbwe

picha na Edwine Lamtey 0758-129821



mbunge wa jimbo la Babati bwana Jonson Jitu akisalimiana na mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Hai ndugu Clement Kwayu  wapili kushoto kwa mwenyekiti wa halmashauri ni mhandisi wa maji wilaya Eng. Nyakaraita Mwita.
picha na Edwine Lamtey 0758-129821

No comments:

Post a Comment