Sunday 18 January 2015

SERIKALI YANUNUA BOTI YA DORIA


Serikali imekamilisha mchakato wa kununua boti maalum zitakazosaidia kuimarisha doria na ulinzi wa shughuli za uvuvi kwenye maziwa mbalimbali nchini ikiwemo ziwa Tanganyika mpango ambao utaendeshwa kwa ushirikiano na vyombo vya ulinzi na usalama ikiwemo jeshi la polisi na jeshi la wananchi.
chanzo cha habari hii ni ITV

No comments:

Post a Comment