Sunday 18 January 2015

NORWAY KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA TANZANIA




Serikali ya Norway imeeleza azma yake ya kuendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania kuboresha huduma za afya hususani kwa wananchi wa vijijini wanaoishi pembezoni ili waweze kupata huduma zenye uwiano sawa na wanazopata wananchi wengine.-

No comments:

Post a Comment